Habari zenu wadau wahii blog?, Leo Nazungumzia kiufupi maisha ya muziki na wenyeji wa ifakara nikiwa kama prodyuza wa muziki na mwenyeji ifakara hii. kuna mambo ambayo nahisi ndio yanafanya musiki wa ifakara hauwezi kuendelea kabisaaaa, Cha kwanza kunatabia ya kupondani na kuchukia na baina ya wasanii hadi kuwaambukiza na maprodyuza wao ukitupia nje swala hilo kuna swala la kutopeana misaada sio wasanii hadi maprodyuza. hivi mwanzoni mwa mwaka huu 2013 nilikua safarini msumbiji na kwa muda wote studio yangu ilikua aifanyi kazi lakini kuna watu niliwaacha kama wakitaka kufanya kazi wafanye. Kilichotokea ni kuunda matabaka kati ya watu niliowaacha, kuna wanaonikubali na wengine hawanikubali na wamediliki hata kusambaza maneno kwa watu ili nionekane sina utu na nisithaminike huku watu hao hao ndio wananisubiri nikirudi wafanye kazi na mimi. Katika kufanikisha swala lao la usambaza maneno ambayo ayafai kunawatu yamewafikia na yamewagusa kwaiyo nilikuwa napigiwa sim nilipo na kuambiwa kila kinachoendelea. ila siku ya siku ilivyofikia kurudi nyumbani ifakara nilijifanya kama sijui chochote ili nifanye uchunguz wangu tangu nirud tarehe 29/03/2013 hadi hii leo 2/05/2013 nimefanikisha kuwajua masnichi wangu na wameamia studio nyingyine kwa aibu zao coz toka nijue nlikua siwafanyii kazi na nlibadilika nahis ndicho kiliwafanya wangundue kua nimejua na kuchukua jukum la kuhama huku nikisikia mapya kila siku katika midomo ya watu, wengine wanasema wanaanda nyimbo ya kunitukana wengine wanasema wanafanya njama zao ili nifeli katika kazi yangu sasa sijui wanataka kufanya nini. Ila hii tabia ya kijinga ya kuongeleana vibaya ipo saaaana huku ifakara sio kwenye musiki wala maisha ya kila siku. Kwaiyo kama weye ni mgeni wa huku kwetu basi jua kua haya mambo yapo na yapo saaaana. Ukiwa kama weye unaakili timamu unafikili sehemu kama hii ni ya kuishi na kufanya maisha ya ndio maisha yenyewe kama haya ya kusemana vibaya kila siku?. Hii ndio habari ya Ifakara na ndio maaana asilimia kubwa ya wanoendelea huku ni wageni.
Ahsante kwa kuielewa Ifakara kwa ufupi.
Ifakara Music & Arts Story
Wednesday, May 1, 2013
Saturday, April 27, 2013
I'm listening to Brown Punch - Tonight (Prod By Devil'... @Hulkshare:
I'm listening to Brown Punch - Tonight (Prod By Devil'... @Hulkshare:
Bofya maandish ya juu Ili kudownload Nyimbo mpya ya Brown Punch Iitwayo Tonight Chini ya Mpishi Devil's touch Faisal Jss Ndani ya Studio za Dark City Music Production Ifakara, Check Up
Friday, April 26, 2013
Tuesday, April 23, 2013
Ni katika Muundo mpya kabisa wa Studio mpya iitwayo dark city Music Ifakara Ambayo inafanya vizuri kwa sasa mjini ifakara na sehem mbalimbali za tanzania, kwa mahitaji ya burudani kwa wapenzi wa music na wadau wa Dark City Music Ifakara Producer Devil's touch na timu yake wameandaa show kwaajil ya wapenzi wa music pande za mbingu, Idete na sehemu nyingu tu za mkoa wa morogoro, ni katika kutambulisha studio na wasanii walio lebo katika studio yake. Ziara itaanzia Pande za Idete Siku ya jumamosi ya tarehe Ishirin na Saba ya mwez huu(27/04/2013) na kuendelea kwa maeneo mengine kwa siku tofauti na kwa taarifa ya matangazo na mipango ya wenyeji wa sehemu. kama weye ni mdau na show hii imeangukia pande zako basi usikose, hili ni bonge la show ambalo litaunganishwa na utafutaji wa waimbaji wasiojiweza kwa gharama za studio na kurekodiwa bure katika studio ya Dark City Music na kama kutakuwa na maelewano mazuri basi inaweza ikawa bahati ya kuwa lebo katika studio hiyo. Idete kaeni mkao wa kuwapokea Dark City Music Band Kwa burudani kabambe saaaaana.
Friday, April 19, 2013
I'm listening to Nyota Prod by Devil's Midundo Faisal Js... @Hulkshare:
Hii Ni Presentation Mpya ya Studio Yenye Ujio Mpya Hapa Ifakara yaan ni Dark City Music Laboratory Chini ya Super Producer Devil's touch Faisal Jss One katika Ngoma mpya iitwayo Nyota ya Kijana mtanashati zao la Dark City Music Laboratory akitokea kundi la chafu tatu Ifakara ni Pado Maflavour Akiwa location anafanya mbwembwe za kichupa cha nyimbo yake Mwanzon mwa wiki hii, Kaa mkao wa Kupata radha Zenye standard na kichupa kikali chini ya usimamiz na utengenezaji wa Dark City Video Next Bam Bam. Bofya hayo Maandish ya juu kabisa ili Kuidownload Nyimbo ya Pado Maflavour
Hii Ni Presentation Mpya ya Studio Yenye Ujio Mpya Hapa Ifakara yaan ni Dark City Music Laboratory Chini ya Super Producer Devil's touch Faisal Jss One katika Ngoma mpya iitwayo Nakaza Roho ya Kijana mtanashati zao la Dark City Music Laboratory akitokea kundi la chafu tatu Ifakara ni Brown Punch(Brown Six Asali ya Mabint) Akiwa location anafanya mbwembwe za kichupa cha nyimbo yake Mwanzon mwa wiki hii, Kaa mkao wa Kupata radha Zenye standard na kichupa kikali chini ya usimamiz na utengenezaji wa Dark City Video Next Bam Bam.
Wednesday, April 17, 2013
Mwanamuziki
maarufu na mwenye umri mkubwa kuliko nchini Tanzania, Bi Kidude,
amefariki dunia leo hii akiwa Zanzibar, alikuwa anaumwa na alipowahishwa
hospitali haikuwa rizki tena.
Taarifa ya kifo chake ilitolewa na mpwa wake Baraka Abdulrahman Alisema Bi Kidude alifariki hospitalini kutokana na maradhi ya kisukari na uvimbe kwenye Kongosho.
Bi Kidude amekuwa katika fani ya muziki wa taarab ya kiasili pamoja na ngoma za unyago kwa zaidi ya robo tatu ya umri wake.
Katika miaka ya karibuni afya yake imekuwa ikizorota kiasi cha serikali ya Zanzibar kumzuia kupanda majukwaani kuburudisha japokuwa alionekana katika tamasha la Sauti za Busara mwezi Februari mwaka huu.
Mipango ya mazishi ya nguli huyu inafanywa nyumbani kwake Zanzibar. Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehem pema peponi
Taarifa ya kifo chake ilitolewa na mpwa wake Baraka Abdulrahman Alisema Bi Kidude alifariki hospitalini kutokana na maradhi ya kisukari na uvimbe kwenye Kongosho.
Bi Kidude amekuwa katika fani ya muziki wa taarab ya kiasili pamoja na ngoma za unyago kwa zaidi ya robo tatu ya umri wake.
Katika miaka ya karibuni afya yake imekuwa ikizorota kiasi cha serikali ya Zanzibar kumzuia kupanda majukwaani kuburudisha japokuwa alionekana katika tamasha la Sauti za Busara mwezi Februari mwaka huu.
Mipango ya mazishi ya nguli huyu inafanywa nyumbani kwake Zanzibar. Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehem pema peponi
Subscribe to:
Posts (Atom)