Friday, August 17, 2012

Hivi karibun nimepata tetesi ya kuwa msanii wa hip hop ndani ya mji mdogo wa Ifakara anayejulikana kwa jina la Man Shouk Ameenda kufanya ngoma mpya kabisa katika studio za Rocka Tz Records Morogoro town, Na nilipo wasiliana nae alinijuza kuwa ni kweli na itaachiwa baada ya kukamilika kutoka Studio na nilipohitaji mahojiano zaid alinambia kuwa atanitafuta akiwa na nyimbo mkononi ili tufanye mahojiano zaid kwahiyo kaa tayari kupokea nyimbo mpya kutoka kwa Man shouk

No comments:

Post a Comment