Jamos Social Hall Inakuletea Show kali ya Wasanii nyota wa bongo fleva Siku ya 
Idd Mosi. Show Itaongozwa na 
Bright Ndaya 
Jamos social hall, Mchana kuanzia saa Sita Kutakuwa na 
disko toto kwa Kiingiko cha shilingi 
1000/= Na usiku pia kuanzia saa mbili kwa kiingilio cha shilingi 
2000/=. Show hii Imedhaminiwa na 
Big nation used center, Tonny Aluminium Glass na Tatu Bila bar. Show hii sio ya kukosa mtu wangu njoo tushuhudie mwanapakaya ametuletea vitu vipya kabisa
 
No comments:
Post a Comment