Friday, August 10, 2012

Show Kali Ifakara(Idd Mosi)

Jamos Social Hall Inakuletea Show kali ya Wasanii nyota wa bongo fleva Siku ya Idd Mosi. Show Itaongozwa na Bright Ndaya Jamos social hall, Mchana kuanzia saa Sita Kutakuwa na disko toto kwa Kiingiko cha shilingi 1000/= Na usiku pia kuanzia saa mbili kwa kiingilio cha shilingi 2000/=. Show hii Imedhaminiwa na Big nation used center, Tonny Aluminium Glass na Tatu Bila bar. Show hii sio ya kukosa mtu wangu njoo tushuhudie mwanapakaya ametuletea vitu vipya kabisa

No comments:

Post a Comment