Monday, August 27, 2012

Maya

Maya Alifanya Vibaya Siku ya Eid Pili  Ndani ya Kumbi zilizopo Idete Akisindikizwa na Nukta Zero Dansaz, Maya Akiwaahid mashabiki wake wanyumbani hakisema sasa yupo chini ya Millionaire Republic Ikiongozwa na Sharo millionaire na hataharibu na msubiri kazi mpya na nzuri kuliko zilizopo hits hewani kwa sasa huku akisisitiza kuwa anamipango mingi sana na kampuni hiyo ya millionaire na kuahidi kuinyanyua Ifakara kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment