Tuesday, September 25, 2012





                                                    Ifakara House Of Talent Ikiwa kazin



                                                                Action Boyz Jashoni

                                                    Watoto wa Ifakoda wakifanya kazi


                                              Kings Of Music Dancerz Sansiro Uwanjani

Ni matumain yangu ni mzima wa afya njema, hivi karibuni nilipatwa na matatizo kidogo na ndiomaana nilikuwa kimya kwa muda wa siku kadhaa hivi lakin isiwe tabaabu sabab matatizo yamumbiwa binaadam, Hivi juzijuzi nilikuwa katika shule ya sekondari Kiyongwile katita graduation yao nilienda kushuhudia mambo ya burudani na kuwapongeza wadogo zangu wahitimu. Kulikuwa burudani kama ifuatayo:- Maigizo(kikundi cha Ifakara house of talent lakin waliofanya igizo ni wanafunzi wa shule hiyo na ni wanachama Ifakara house of talent) Madensa wa muziki kutoka makundi mbalimbali kama Sansiro talent group, Action Boyz na Ifakoda ndio waliotia burudani pande hizo siku ya 21/09/2012.

Wednesday, September 19, 2012

Habari Wasomaji wa Blog hii, Ifakara burudan inaendelea na nimepata habari hivi punde kuwa kua kutakuwa na mashindano ya kucheza kwaito ndani ya ukumbi wa mato ila bado sijajua lini na muda gani yataanza wala fomu zinapatikana wapi ila tu bado ntaendelea kuwapa habari kila kinachoendelea Ahsanteni.

Monday, September 17, 2012

Kunauwezekano wa kuanza mashindano ya kumsaka staa wa muziki ifakara nzima kwa muda wowote kuanzia sasa sabab fomu inasema mwisho wa tahreh ya kurejesha ni tareh 17/09/2012 na baada ya hapo kuatakua na kikao cha mwisho na ndio kitajuza watu kama lini mashindani yataanza, Kuwa tayari na Tunaomba sapoti yako ili kuweza fanikisha zoez hili ila ukipata taarifa hizi tafadhali muambie na mwinzako. Ahsante

Sunday, September 9, 2012

Hivi Unajua kama Kuna mashindano yataanzishwa hivi karibun?

Dj Mchafu Akishirikiana Na Producer Faisal, Dj E-Sir na Presenter Emmanuel Kapanga Wanataka kuanzisha Mashindano ya kumtafuta star wa music wa mwaka 2012 Ifakara.Shindano hilo litaendeshwa hivi mshiriki anatakiwa aimbe nyimbo zake na sio za kopi.