Monday, September 17, 2012

Kunauwezekano wa kuanza mashindano ya kumsaka staa wa muziki ifakara nzima kwa muda wowote kuanzia sasa sabab fomu inasema mwisho wa tahreh ya kurejesha ni tareh 17/09/2012 na baada ya hapo kuatakua na kikao cha mwisho na ndio kitajuza watu kama lini mashindani yataanza, Kuwa tayari na Tunaomba sapoti yako ili kuweza fanikisha zoez hili ila ukipata taarifa hizi tafadhali muambie na mwinzako. Ahsante

No comments:

Post a Comment