Ni aje Bandugu leo ni siku ambayo tulkuwa tunaisubir sana kwa burudan, tutakuwa na rich mavoko katika ukumbi wa jamos kuanzi kinait furani hadi majogoo 19/10/2012 Kiingilio Tsh 5000/= Karibun kujumuika na mavoko
Thursday, October 18, 2012
Tuesday, September 25, 2012
Ifakara House Of Talent Ikiwa kazin
Action Boyz Jashoni
Watoto wa Ifakoda wakifanya kazi
Kings Of Music Dancerz Sansiro Uwanjani
Ni matumain yangu ni mzima wa afya njema, hivi karibuni nilipatwa na matatizo kidogo na ndiomaana nilikuwa kimya kwa muda wa siku kadhaa hivi lakin isiwe tabaabu sabab matatizo yamumbiwa binaadam, Hivi juzijuzi nilikuwa katika shule ya sekondari Kiyongwile katita graduation yao nilienda kushuhudia mambo ya burudani na kuwapongeza wadogo zangu wahitimu. Kulikuwa burudani kama ifuatayo:- Maigizo(kikundi cha Ifakara house of talent lakin waliofanya igizo ni wanafunzi wa shule hiyo na ni wanachama Ifakara house of talent) Madensa wa muziki kutoka makundi mbalimbali kama Sansiro talent group, Action Boyz na Ifakoda ndio waliotia burudani pande hizo siku ya 21/09/2012.
Wednesday, September 19, 2012
Monday, September 17, 2012
Kunauwezekano wa kuanza mashindano ya kumsaka staa wa muziki ifakara nzima kwa muda wowote kuanzia sasa sabab fomu inasema mwisho wa tahreh ya kurejesha ni tareh 17/09/2012 na baada ya hapo kuatakua na kikao cha mwisho na ndio kitajuza watu kama lini mashindani yataanza, Kuwa tayari na Tunaomba sapoti yako ili kuweza fanikisha zoez hili ila ukipata taarifa hizi tafadhali muambie na mwinzako. Ahsante
Sunday, September 9, 2012
Hivi Unajua kama Kuna mashindano yataanzishwa hivi karibun?
Dj Mchafu Akishirikiana Na Producer Faisal, Dj E-Sir na Presenter Emmanuel Kapanga Wanataka kuanzisha Mashindano ya kumtafuta star wa music wa mwaka 2012 Ifakara.Shindano hilo litaendeshwa hivi mshiriki anatakiwa aimbe nyimbo zake na sio za kopi.
Monday, August 27, 2012
Maandaliz Ya Video ya Mick Daddy
Mick Daddy Yupo katika maandaliz ya Shooting ya Nyimbo yake Iendayo kwa jina la Hip hop Kitengo cha juu chini ya mkono wa Forty Four(Ifoza Records) na Video Inasimamiwa na Kampuni ya I.T Video Production Ifakara Chini ya Camera Man Abdul Chalongite na Prod Faisal Jss na Kudailektiwa na B-Boi Stam na Abdul Chalongite, Hivi karibuni Itakuwa tayari kaeni mkao wa kula.
Maya
Maya Alifanya Vibaya Siku ya Eid Pili Ndani ya Kumbi zilizopo Idete Akisindikizwa na Nukta Zero Dansaz, Maya Akiwaahid mashabiki wake wanyumbani hakisema sasa yupo chini ya Millionaire Republic Ikiongozwa na Sharo millionaire na hataharibu na msubiri kazi mpya na nzuri kuliko zilizopo hits hewani kwa sasa huku akisisitiza kuwa anamipango mingi sana na kampuni hiyo ya millionaire na kuahidi kuinyanyua Ifakara kwa ujumla.
Sherehe Za Eid Mosi Wilaya Ya Ulanga
Nukta Zero Dansaz Ndio waliokinukisha Vibaya Huko pande za Wilaya ya Ulanga Katika Kumbi nyingi tu katika kusheherekea Eid Mubbarack(Eid Mosi)
Friday, August 17, 2012
Hivi karibun nimepata tetesi ya kuwa msanii wa hip hop ndani ya mji mdogo wa Ifakara anayejulikana kwa jina la Man Shouk Ameenda kufanya ngoma mpya kabisa katika studio za Rocka Tz Records Morogoro town, Na nilipo wasiliana nae alinijuza kuwa ni kweli na itaachiwa baada ya kukamilika kutoka Studio na nilipohitaji mahojiano zaid alinambia kuwa atanitafuta akiwa na nyimbo mkononi ili tufanye mahojiano zaid kwahiyo kaa tayari kupokea nyimbo mpya kutoka kwa Man shouk
Friday, August 10, 2012
Show Kali Ndani ya Idd Mosi/Pili
Ni Fare Entertainment Inawaleta Bonge la show ya Uzinduzi wa Nyimbo na Video mpya Kabisa Kutoka kwa H.Fare Akisindikizwa na C-minor Kutoka Ifakara(Kwanza Label), Isa Malilo Kutoka Dar na Wakali wa Steji Ifakoda Nao watatumbuiza Vyakutosha. Siku ya Idd Mosi watafanya Show Katika Ukumbi wa Sanseti Chita na Idd Pili watafanya show katika ukumbi wa amani klabu. Mchana Kutakuwa na Disko toto kwa kiingilio cha shilingi Elfu moja(1000/=) na Usiku Mpaka majoo kwa Kiingilio cha Shilingi Elfu Mbili(2000/=) Usikose Mtu wangu.
Show Kali Ifakara(Idd Mosi)
Jamos Social Hall Inakuletea Show kali ya Wasanii nyota wa bongo fleva Siku ya Idd Mosi. Show Itaongozwa na Bright Ndaya Jamos social hall, Mchana kuanzia saa Sita Kutakuwa na disko toto kwa Kiingiko cha shilingi 1000/= Na usiku pia kuanzia saa mbili kwa kiingilio cha shilingi 2000/=. Show hii Imedhaminiwa na Big nation used center, Tonny Aluminium Glass na Tatu Bila bar. Show hii sio ya kukosa mtu wangu njoo tushuhudie mwanapakaya ametuletea vitu vipya kabisa
Wednesday, August 8, 2012
Sunday, August 5, 2012
Habar Nilizopata Hivi Punde
Ni Kwanza Records Ifakara yaanda Majeshi yake kwa Albam Moja moja kwa kila Mjeshi Ila bado aijatoa tamko kuwa lini zitakamilika Albam hizo. Kaa tayari kwa Kupata radha mpya kabisa kutoka kwa Man Luwanda Proffessor(Producer na Mmiliki wa Studio) Kwanza Records Ifakara.
Saturday, August 4, 2012
Kundi Jipya Ifakara!.
Karibu Ifakara Kwetu, Music na Sanaa za kutosha znapatikana na kumiminika kiila siku, Karibuni wageni woote, Leo sina cha kuwapa ila nina cha kuwadokeza kidogo kuhusu nini kinafanyika Ifakara Kwa sasa. Kuna kundi jipya kabisa Liitwalo Ifakara House Of Talent (I.H.T) ambalo lipo mbioni kufanya kazi zao yaani wanatarajia kushuti filamu zao kabambe na kali kabisa.Nyie kama wadau Subilieni mzigo mkali kutoka kwao.
Tuesday, May 29, 2012
YALIYOJIRI MTWARA KWENYE KTMA WINNERS TOUR
Wakazi wa Mtwara walivyofurika katika uwanja wa Umoja Bi Khadija Ikafika zamu ya masaniii AT Show ilifungwa kwa msanii kutoka Tang...
Thursday, May 24, 2012
Uswaz Intertainment Ya Ifakara Town Imeandaa Bonge la show Ambalo litafanyika Ndani ya Ukumbi wa Serenget Boys Huko Malinyi Wlaya ya Ulanga Mkoan Morogoro Ni Uzinduz wa Tracks tatu za Brown Punch Kutoka Moro town katika Nyimbo Anazo zindua ikiwemo Ma Lady Part 2(Imefanyika katika studio za I.T Music Production Ifakara Chin ya Mkono Prod Faisal Jss), Na Mbili zilizbaki yaani Hima Uje na Kipi(zimefanyika katika Studio Za Pure Music Productions Moro town Chini ya mkono wa Make touch One) AQisee Ishow Itasimama Kinouma sabab anaaweza
Monday, May 14, 2012
Wednesday, May 9, 2012
Tuwakumbuke Hawa
Enzi Za Djs Na Prezenta Hawa Ilikuwa Hatari sana Ndani ya Pambazuko fm 90.7 Ifakara Mtambon ni William Bukuru(Wlley B) na pemben ni Captein Enock Kiswaga(Bonge la Mtu)
Tuesday, May 8, 2012
Sunday, May 6, 2012
Hivi Karibun Studio ya Ifoza Records Kuanza kazi toka Miez mitatu Iliyopita Kutokana na Matatizo ya Kiufundi na marekebisho ya hapa na pale lakin sasa ipo shwari ipo teari kwa kazi kwa wale wasanii wa kutoka ifakara na sehem yeyote ile Sisi tunasema Karibun sssaaaaana Eeee bhana eeh! Jipppange bhana Ifoza records Imerudi Kivingine
Jana Kulifanyika bonge la party katika ukumbi mkubwa katikati ya mji wa wa Ifakara yaan namaanisha Ukumbi wa Jamos Social Hall, Kulifanyika party la kumtafuta Mlimbwende wa Wilaya ya kilombero na kuweza kuwakilisha katika ngazi ya mkoa na Ikiwezekana aendelee kuing'arisha Wilaya ya Kilombero hadi katika ngazi ya Taifa. Party Ilikuwa sio ya kitoto sabab Kulikuwa na Timbulo na Neighbour kwaajili ya kusindikiza show kali Iliyofanyika jana 5/5/2012 Eee Bhana Jipppange
Sunday, April 29, 2012
Tuesday, April 24, 2012
Sunday, April 22, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)